http://tropicalpoultryfarming.blogspot.com/

VIJANA WAASWA KUTMIA MBEGU ZA FEDHA WALIZONAZO KUVUNA KIPATO KIKUBWA

mkurugenzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha Bw Joseph kagie mayagila akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya ujasiriamali chuoni hapo leo asubuhi  (picha na Benson  mreme)

Mkurugenzi mkuu wa chuo cha uandishi na utangazaji

arusha ajtc bwana joseph kagie mayagila afungua rasmi 

semina ya ujasiriamali kwa wanafunzi chuoni hapo. 



mgeni huyo rasmi akitoa hotuba yake ya ufunguzi ameanza  
kwa kutoa mongozo wa namna ya kuzifanya fedha ulizo 

nazo kuongezeka cha kwanza ni kuchunga tabia yako. pia

amezitaja tabia hizo zikiwa ni pamoja na dhamira na

umuhimu wa mbegu kuwa lazima uwe na fedha ambazo 

zinazalisha kipato na dhamira ya pili muda. Na ya mwisho ni

mavuno kwamba baada ya kuwa na mbegu utakuwa na

muda wa kuiotesha mbegu yako na mwisho una vuna kile 

ulicho kilima.

mkurugenzi huyo akifuatilia akifuatilia kwa ukaribu mada kutoka kwa mtoa mada wa  kwanza  bwana Onesmo Elia mbise (picha na benson mreme)

mtoa mada wa kwanza bwana Onesmo elia mbise akiwasilisha mada yake(picha na benson mreme)

Awali mkuu wa kitengo cha ujasiriamali katika chuo hicho 

bwana Andrea ngobole ametoa histora fupi ya semina za

ujasiriamali amesema kuwa chuo kilianza kutoa elimu ya

ujasiriamali tangu mwaka 2007.


akitangaza mafaniakio ya semina ambazo zimekuwa
zikitolewa amesema kuwa nipamoja na kufanikiwa kutoa


elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi zaidi ya elfu moja

(1000) na kwa sasa kuna baadhi yao wanamiliki madukuka,

saluni pamoja na kampuni.www.skychami.com

Labels:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

CHARLES CHAMI. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget