http://tropicalpoultryfarming.blogspot.com/

PAPA FRANCIS AWASAIDIA TENA WANAWAKE WANAO TOA MIMBA

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amesogeza mbele kwa muda usiojulikana suala la mapadre wa kikatoliki duniani kusamehe wanawake walitoa mimba.
Mwaka jana aliwaruhusu mapadre kufanya hivyo kwa kipindi ambacho kilitajwa kama mwaka wa huruma ya Mungu kilichoisha Jumapili iliyopita.
Hapo awali maaskofu peke yao ndio waliokuwa na uwezo wa kuwasamehe wanawake waliotoa mimba.
Baba mtakatafu amesisitiza kwamba mafundisho ya kikatoliki yanaonyesha kwamba utoaji mimba ni kosa kubwa, lakini kiongozi huyo ameeleza kwamba Mungu ni mwenye huruma na anaweza kusamehe dhambi zote ikiwa mkosaji atatubu.
Kiongozi huyo wa kanisa katoliki duniani amesema anaelewa jinsi suala la utoaji wa mimba linavyoweza kuwa tatizo kimaadili kwa mwanamke.
Labels:

Post a Comment

CASINO ROAD & CASINO - Mapyro
The 창원 출장마사지 Casino 구리 출장안마 ROAD 계룡 출장마사지 & CASINO located 대구광역 출장안마 in the 2nd Floor at 11th Avenue South and 777 Casino Rd was opened on October 28, 1996. The Casino has an active gaming 익산 출장마사지

Contact Form

Name

Email *

Message *

CHARLES CHAMI. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget