http://tropicalpoultryfarming.blogspot.com/

Kundi la kigaidi lililoko Nigeria, Boko Haram, kwa mara ya kwanza laishambulia Chad.

Wanajeshi wa Chad nchini Nigeria
Wakuu nchini humo wanasema kuwa, wapiganaji wa Boko Haram walivuka ziwa Chad kwa maboti usiku na kushambulia kijiji cha Ngouboua, kilichoko kandokando ya ziwa hilo.

Liliwauwa watu, kuchoma moto vijiji vyao na kuiba mali.
Chifu wa eneo hilo ni miongoni mwa waliouawa.
Majeshi ya Chad yanasemekana kuwarudisha nyuma wapiganaji hao ambao wanadhibiti eneo kubwa la ziwa hilo upande wa Nigeria.
Majeshi ya Chad yamekuwa yakikabiliana na Boko Haram nchini Nigeria taifa hilo ni la nne kushambuliwa na wapiganaji hao wa kiislamu.
Wapiganaji wa kundi la boko haram walishambulia taifa la Chad


CHANZO BBC SWAHILI

Labels:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

CHARLES CHAMI. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget