Magoli 3 yalio fungwa na mshambuliaji wa kimataifa kutoka ureno cristiano ronaldo dakika za 63,66 na 90 na yale mawili ya k. benzema dakika za 54 na 81 na goli moja la mchezaji mpya isco akika ya 33 yametosha kabisa kuwazamisha waturuki galatasaray dhidi ya real madrid kwa kichapo cha aibu cha magoli sita kwa moja goli la u.bulut dakika ya 84; Katika mchezo mwingine mashetani wekundu manchester united wameibuka na ushindi wa magoli 4 -2 dhidi ya bayern leverkusen shukrani kwa mshambuliaji wa kimataifa wa wingereza w.roony alie funga magoliu 2 dk 22 na70 akiwa katika kiwango cha hali ya juu kabisa pamoja na magoli hato aliweza kuto pasi ya goli kwa anton valencia dk ya 79 pia mshambuliaji wao bora kutoka uholanzi R.V.Parsie aliwapatia goli moja | |||
MATOKEO MEGINE ANGALIA HAPA | |||
Post a Comment