http://tropicalpoultryfarming.blogspot.com/

MAAJABU YATOKEA WAKATI WA MAZIKO YA BABA MZAZI WA MFANYABIASHARA WA VIROBA ALIEJUA DODOMA



Festo mselia ambaye ni mmiliki wa kampuni ya Mselia Enterprises anadaiwa alijiua kwa kujipiga risasi chini ya kidevu shambani kwake eneo la Msalato, nje kidogo ya mji wa Dodoma, baada ya polisi kumbaini akiwa amehifadhi shehena ya viroba, pombe ambazo serikali imepiga marufuku matumizi yake.
tukio hilo la kujia kwa festo lilisababisha mshtuko mkubwa kwa baba mzazi mzee John mselia hadi mkupelea umauti siku chache baada ya maziko ya mwanae.
tukio la kushangaza lilitokea siku ya maziko ya baba mzazi wa festo baada ya mvua kubwa ya barafu kunyesha wakati ibada ikiendelea katika kanisa katoliki la utukufu wa msalaba Umbwe.
"ilikua ibada inaelea mwishoni basi mvua ya kawaida ikaanza kunyesha wakati watu wanaaga mwili wa marehemu ndipo barafu zikaanza kushuka na kupekea hali ya taharki kwa watu na kuanza kutoka nje kushangaa ninikinaendelea na mvua ilinyesha kwa dakika kama 20 na kurejea katika hali ya kawaida."alieleza mmoja wa mashuhuda.

Baba mzazi wa Festo Mzee John Mselia wakati wa uhai wake

Labels:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

CHARLES CHAMI. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget