http://tropicalpoultryfarming.blogspot.com/

JIJI LA MANCHETER LAZIZIMA, MOYES HATARIN MOURINHO APNEA CHPUCHUPU.



Klabu zinazotoka katika jiji moja la Manchester  zimeameangukia pua leo katika ligi kuu England.  K atika dimba la Old trafod Manchester united waliwakabisha west Bromwich Albion wakapata kichapo cha magoli 2-1 wageni hao wa magharibi mwa London ndo walikuwa wa kwawnza kupata goli dk 54 kupitia kwa AMALFITANO Furaha yao hiyo ilizimwa gafla dakika tatu baadae baada ya ROONEY kusawazisha dakika ya 57 kwa mpira wa adhabu ndogo na ndipo mamchester wakawasha moto kwa kulisakama lango la west Bromwich lakini mambo yakaendelea kuwa magumu kwa man u baada ya west  kufanya shambulizi la kushtukiza na BERAHINO kuiptia timu yake hiyo goli la ushindi. Katika mchezo huo watu wengi memlaumu kocha wa man u david moyes kwa kumchezesha rio fednand mechezo mingi mfulilizo baada ya leo kuonekana kuwa uchochoro kwa albion.


Tukiachana na mchezo huo majirani zao Manchester city nao wameangukia pua baada ya kupata kichapo cha magoli 3-2 dhidi ya Aston Villa man city ndo walikuwa wakwanza kupata goli kupiti kwa kiungo wao bora kabisa YAYA TOURE  dk ya 45 EL AHMADI aliisawazishia timu yake dk ya 51 ya mchezo baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa  bacuna  iliwachukua dakika tano tu man city wakaandika goli la pili kupitia kwa  mshambuliaji wao DZEKO  dakika ya 56, safari hii ilikuwa BOCUNA  alie kuwa mwiba mkali kwa man city baada ya kuisawazihia timu yake goli hilo dk ya 73 na kuichanganya man city na ndipo wakapata nafasi ya kuandika goli la haraka haraka dk ya 75 kupitia kwa WEIMANN mpaka mwisho wa mchezo aston villa 3  man city 2.  
Nao matajiri wa London Chelsea wamewalazimisha Tottenhum hotspurs sare ya goli 1-1 mchezo huo uliokuwa wa kusisimua ulimalizika kwa timu zote mbili kugawana vipindi huku spurs wakitawala kipindi cha kwanza na kujiptia goli dakika ya 19 kupitia kwa SIGURDSSON  baada kugongeana pasi safi na robato soldado. Mpaka mchezo huo unanakwenda mapumziko spurs  walikuwa mbele kwa goli hilo moja, kipindi cha pili kilianza kwa kocha wa Chelsea jose mourinho kufanya mabadiliko kwa kumtoa jon obi Michel na kumwingiza JUAN MATA  ndipo Chelsea walipoanza kuumiliki mchezo kutokana na mabadiliko hayo na kuweza kusawazisha goli hilo dakika ya 65 kupitia kwa nahodha wao JOHN TERRY kwa kichwa safi  kutokana na mpira wa adhabu ndogo uliopigwa na mata  CHELEA walipata pigo baada ya mchezaji wao fernando torres  kuonyeshwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano dk ya 81 mpaka mwisho wa mchezo spurs 1 chelsea 1  na kuifanya spurs kukwea kileleni mwa ligi kwa masaa mawili tu ikiwa na pointi 13 huku Chelsea wakishikilia nafasi ya tatu na ponti 11       Nafasi ya kwanza imechukuliwa na washika mitutu wa London arsenal kuibuka na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Swansea city magoli ya arsenal yaliwekwa kimiani na GNABRY dk ya 58 huku goli la pili likiwekwa kimiani na mchezaji alie kwenye kiwango cha juu kabisa A.RAMSEY dk ya 62  na goli la kufutia machozi la Swansea liliwekwa kimiani na DAVIES dk ya 82  mchezo mwingine Fulhum waliwakaribisha  wageni wa ligi Cardiff city na kupata kichapo cha magoli mawili kwa moja curdiff ndo walikuwa wa kwanza kupata bao dk ya12 kupitia kwa CAULKER  dk ya 45 fulhum walijibu mapigo baada ya  RUIZ kuisawazishia tiimu yake hiyo  dakika ya 90 vijana wa  MACKAY walijipatia goli la pili na la ushindi kupitia kwa  MUTCH hadi kipenga cha mwisho cha mwamuzi  PAWSON kinalia Cardiff city 2 fulhum 1. Wageni wengine katika ligi hiyo  hull city aliwakaribisha wagonga nyundo wa London west ham united  na kuwageuzia kinyundo kimoja kinyundo hicho cha hull kiliwekwa kimiani dk ya 12 na BRADY kwa mkwaju wa penati  matokeo ya mwisho ya E.P.L  southampon waliwakaribisha crystal palace  baada ya kuwaa kuwadhibu goli mbili bila kwa magoli yaliowekwa kimiani na OSVALDO dakika ya  47 LAMBERT 49 kwa kumlipa  rooney  faulu nzuri .posted by charles chami

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

CHARLES CHAMI. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget