http://tropicalpoultryfarming.blogspot.com/

SUAREZ 3-2 RONALDO, BACA YATWAA UBINGWA WA 24



luis suarez ameiongoza vyema timu ya barcelona kunyakua ubingwa wa 24 mbele ya wapinzani wao waliokuwa wanachuana katika mbio za ubingwa wa la liga real madrid baada ya kuichapa timu ya Granada goli 3-0 shukrani za kipekee zimwendee suarez alietupia kambani goli zote tatu katika dk za 22, 38 na 86.


magoli hayo yamemfanya luis kuibuka mfugaji bora wa la liga msimu wa 2015-2016 kwa jumla ya goli 40 na kumwacha mpinzani wake wa karibu Christian Ronaldo  alie tupia goli 37 baada ya kufunga magoli  mawili katika mchezo wa leo dhidi ya Deportivo La Coruña.
Labels:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

CHARLES CHAMI. Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget