Mnigeria akamatwa Kenya na dawa za kulevya, inaaminika alipitia airport ya Julius Nyerere
Idara ya uhamiaji Tanzania wamesema “Mtu akifukuzwa na nchi moja haimaanishi kwamba haruhusiwi kuingia nchi nyingine. Kama jirani zetu wangekuwa na ushirikiano na sisi baada ya kumkata mtu,wangetupa taarifa ili anapoingia Tanzania tunakuwa makini naye. Huyo mtu alipita tu hapa Tanzania”. So, haijulikani kama mtu huyo alipita airport ya Julius Nyerere na hizo dawa au la.
Imeripotiwa na gazeti la Mwananchi Sept 16.
Post a Comment